MGOGORO WA DONALD NGOMA NA YANGA WAFIKIA MWISHO....AAMBIWAAA.....

klabu ya Yanga yenye maskani yake mtaa wa Jangwani imeamua kukubali yaishe kwa mshambuliji wao Donald Ngoma na imemsamehe na sasa Ngoma amejiunga rasmi na programu za mazoezi za klabu hiyo.

Yanga na Ngoma waliingia katika mgogoro mkubwa uliosababisha kutaka kuvunja mkataba wake.

Klabu ya Yanga ilitaka kukaa meza moja na Donard Ngoma ili kuvunja mkataba wake kutokana na kuwa msumbufu mara kwa mara katika klabu hiyo.

Ngoma jana amejiunga na programu ya mazoezi ya Mwalimu George Lwadamina ambapo ameanza na mazoezi ya gym.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.