WALICHOKIFANYA YANGA BAADA YA KUTUA JIJINI MWANZA LEO

Kikosi cha Yanga kimewasili salama jijini Mwanza tayari kuwavaa Mbao FC katika mechi itakayopigwa kwenye Uwanja wa CCM Kirumba jijini Mwanza, keshokutwa. 

Yanga ambao ni mabingwa watetezi wa Ligi Kuu Bara, wameondoka leo asubuhi na tayari wamewasili kwa safari hiyo ya saa moja na dakika 14 kutoka Dar es Salaam kwenda Mwanza. 

Mbao FC tayari iko kambini ikijiandaa na mechi hiyo inayotarajiwa kuwa tamu na yenye mvuto
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.