SIMBA: HIKI NDICHO KILICHOTOKEA BAADA YA WACHEZAJI NA UONGOZI WA SIMBA KWENDA KUMFARIJI MO IBRAHIM

Uongozi wa Simba umeongozwa na Mkurugenzi wake wa Mawasiliano, Haji Manara kufika nyumbani kwa kiungo wake, Mohamed Ibrahim ambaye alifiwa na mwanaye.

Manara aliongozana na wachezaji wa Simba kwa ajili ya kumliwaza mchezaji huyo ambaye alionekana mnyonge.

Kocha Msaidizi wa Simba, Masoud Djuma naye aliwaongoza wachezaji hao katika msafara huo.
Tags

Post a Comment

0 Comments
* Please Don't Spam Here. All the Comments are Reviewed by Admin.